Posts

VIDEO : Damian Soul Ft Switcher Baba & Nikki Wa Pili - DATA officiel release

Image
New Video Music from an artist who known  as DAMIAN SOUL today has release new video song on 2018 by featuring Switcher Baba and Nikki Wa Pili , The Video Song Called DATA is an Official Video kudownload Audio hapa

DOWNLOAD NEW SONG FROM MWASITI FT BILLNASS -BADO.MP3

Image

.NEW SONG KING KAKA FT BARNABA CLASSIC

Image

DOWNLOAD NEW SONG - PAPARA FROM MIMI MARS

Image

New Video.., | ENOCK BELLA-NGOJA KIDOGO

Image

Saudi Arabia yafanya mabadiliko katika nyadhifa za jeshi na wizara

Image
Mfalme Salman wa Saudi Arabia amefanya mabadiliko ya nyadhifa za jeshi na wizara mbalimbali, pamoja na kuteua naibu waziri wa kike akiwa na lengo la kuingiza kizazi kipya serikalini. Sababu za mabadiliko hazijulikani. Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametangaza mabadiliko katika nafasi za juu za kijeshi na wizara mbalimbali nchini humo. Nyadhifa muhimu ya Mkuu wa Wafanyakazi wa Jeshi na za maafisa wengine wa kijeshi zimebadilishwa, wakati vita vikiwa vinaendelea nchini Yemen. Ufalme wa Saudia haukutoa sababu za kutokea mabadiliko hayo na wala haukutoa maelezo yoyote juu ya namna inavyopanga kuimarisha Wizara yake ya Ulinzi. Katika wakati ambapo Ufalme wake unakosolewa kimataifa kwa kuongoza mashambulizi ya anga nchini Yemen yanayoua raia wa kawaida kwa kulenga masoko, hospitali na maeneo mengine ya raia. Watu wapatao 10,000 wameuawa katika vita hivyo ambavyo Saudi Arabia anaiunga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa dhidi ya waasi wa Houthi wanaoudhibiti mji mkuu wa Sanaa kw

NEWS:.Washirika wa Rais wa zamani wa Burkina Faso wafikishwa mahakamani

Image
Washirika wawili waandamizi wa Rais wa Burkina Faso aliyeondolewa madarakani, Blaise Compaore na takribani watu wengine 20 walifikishwa mahakamani jumanne wakituhumiwa kupanga jaribio la mapinduzi mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito. Waandamanaji waliokasirishwa na jaribio la bwana Compaore la kubadilisha katiba ili kuongeza utawala wake wa miaka 27 walifanikiwa kumuondoa madarakani na kumlazimisha kukimbia nchi jirani ya Ivory Coast hapo mwaka 2014. Jenerali Gilbert Diendere Wanajeshi wa kikosi maalumu cha ulinzi wa rais wakiongozwa na Jenerali Gilbert Diendere, mshauri mkuu wa Compaore waliwachukua mateka maafisa wa serikali ya mpito mwezi mmoja kabla ya uchaguzi wa mwaka uliofuata. Jaribio lao la kuchukua madaraka kwa wiki moja lilishindwa baada ya kuuliwa watu 14 na zaidi yaw engine 250 kujeruhiwa. Jenerali huyo anashtakiwa kwa kutishia usalama wa taifa, kufanya mauaji na shambulio. Akiwa kizimbani alikataa kusema chochote huku akikaribiana na waziri wa zamani