Posts

NEW AUDIO,. | Nedy Music - Sina | Download

Image
                                                 

Audio : Davido - Flora My Flower | Download Mp3

Image
                                                                                      Audio : Davido - Flora My Flower | Download Mp3             

AUDIO & VIDEO| Mo music ft Roma – BAJAJI | Download

Image
                                     

AUDIO | Q Chief - Delilah | Download

Image

AUDIO | Beka Flavour – Kibenten | Download

Image
                                                   

Historia ya Kanisa Katoliki duniani

Image
Kanisa Katoliki  likiwa la zamani ( Waorthodoksi  na  Waorthodoksi wa Mashariki  wanashiriki sifa hiyo) na kubwa kuliko  madhehebu  yote ya  Ukristo ,  historia  yake inashika sehemu muhimu ya  historia ya Kanisa  lote  duniani  tangu lilipoanza  mwaka   30  hivi  BK  hadi leo. Baada ya  Yesu Kristo  kuhubiri na kukusanya wafuasi kati ya  Wayahudi  wa  karne ya 1 , hao walitumwa naye duniani kote, hasa  wanaume  12 aliowaita  Mitume , yaani "waliotumwa". Waandamizi wao katika  uongozi  wa  Kanisa  walianza kuitwa  maaskofu , na kati yao yule wa  Roma  alizidi kushika  nafasi ya pekee kwa sababu  Mtume Petro   alifia dini  katika  mji  huo kutokana na  dhuluma  dhidi ya Ukristo ambayo ilianzishwa na  Kaisari Nero ( mwaka   64 ) na kuendelea kwa kwikwi hadi ilipokomeshwa na  Kaisari   Konstantino Mkuu  aliyetangaza huko  Milano   uhuru wa dini kwa wananchi wote ( 313 ). Dhuluma haikufaulu kuzuia uenezi wa  dini  hiyo mpya katika  dola la Roma . Mwishoni mwa  ka

Ni nani ambae ni Mrithi wa Mtakatifu Petro?

Image
MNAMO 2002, Papa Yohana Paulo wa Pili alimwandikia barua askofu wa Limburg, huko Ujerumani, akifutilia mbali uamuzi uliofanywa na askofu huyo kuhusu suala la kutoa mimba. Papa alianza kutoa maagizo yake kwa kusema kwamba anawajibu wa kuhakikisha kuwa “makanisa yote yako katika hali njema na yana umoja kulingana na mapenzi ya Yesu Kristo.” Alidai kuwa ana mamlaka ya kufutilia mbali uamuzi uliofanywa na askofu huyo kwa sababu akiwa papa, yeye ndiye “mrithi wa Mtakatifu Petro.” Kulingana na tafsiri fulani ya Kanisa Katoliki, “Kristo alimweka rasmi Mt. Petro kuwa mkuu wa mitume wote.” Kanisa Katoliki linaendelea kudai kwamba “Kristo alisema kwamba Petro anapaswa kuwa na watu watakaomrithi katika cheo hicho; na kwamba maaskofu Waroma ndio warithi wake.”— New Catholic Encyclopedia  (2003), Buku la 11, ukurasa wa 495-496. Hayo ni madai mazito. Je, wewe mwenyewe umewahi kuchunguza ukweli wa madai hayo? Ona majibu ya maswali haya matatu: (1) Je, Biblia inaunga mkono dai la kwamba Pet