Chanjo ya ugonjwa wa gonorrhoea yapatikana

 Gonorrhoea imekuwa taabu kutibika kwa sababu imezoea antibiotic
 Gonorrhoea imekuwa taabu kutibika kwa sababu imezoea antibiotic

Wanasayansi nchini New Zealand wameonyesha kwa mara ya kwanza kwamba chanjo inaweza kutoa kinga dhidi ya ugonjwa wa gonorrhoea.
Watafiti kutoka chuo kikuu cha Auckland wamegundua kuwa maambukizi ya ugonjwa huo wa zinaa yameshuka kwa takriban theluthi moja miongoni mwa watu ambao walipata chanjo dhidi ya homa ya manjano.
Watafiti hao wamefuatilia kutoka kwa vijana milioni moja waliopata chanjo hiyo pindi kulipotokea ugonjwa wa homa ya manjano nchini New Zealand.

Tiba ya sasa ilikuwa inadumu kwa miaka miwili pekee
 Gonorrhoea imekuwa taabu kutibika kwa sababu imezoea antibiotic.

Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD NA USIKILIZE NYIMBO ZA KWARESIMA