BREAKING: Kilichoamuliwa na Mahakama kuhusu kesi ya Halima Mdee


  Halima Mdee ameachiwa kwa dhamana ya Milioni 10 na wadhamini wawili, ushahidi haujakamilika kesi imeahirishwa hadi August 7, 2017.

Katuga alidai kuwa July 3, 2017 katika Ofisi za Chadema makao makuu, alimtukana Rais Magufuli kwa kumwambia ” Anaongea ovyo ovyo, anatakiwa afunge break,”. Baada ya kusomewa kosa hilo, Mdee alikana kosa.Wakili Katuga alisema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika anaomba kesi iahirishwe.
Mdee amedhaminiwa kwa bondi ya shilingi milioni kumi na wadhamini wawili ambapo kesi imeahirishwa hadi Agosti 7, mwaka huu.


Comments

Popular posts from this blog

DOWNLOAD NA USIKILIZE NYIMBO ZA KWARESIMA